Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Serikal Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Mgao wa 50/ 50 na Barrick

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia kwa Waziri wa Katiba Na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi imetoa ufafanuzi kuhusu suala la faida na mgao wa asilimia 50/50 na kusema jambo hilo limekuwa halifahamiki vizuri kwa watu wengi. 

Profesa Kabudi amesema kuwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itapata asilimia 16 ambazo zinapatikana bila malipo kwa mujibu wa sheria za madini kama ambavyo zimepitishwa huku Barrick wao wakibaki na asilimi 84.

Msikilize hapo chini akitoa Ufafanuzi
 

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top