Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BUNGE LAWAONYA WAANDISHI NA WAHARIRI WA MAGAZETI MATATU

Image may contain: 1 person, smiling, standing

Spika wa Bunge, Job Ndugai amewataka waliochapisha habari waliyopewa na Mbunge Zitto Kabwe, kuomba radhi katika kurasa zao za mbele ndani ya siku tano kuanzia leo.

Waandishi na wahariri hao wamedaiwa kuchapisha taarifa za siri za kikao cha Bunge cha Kamati ya maadili iliyokuwa ikimuhoji mbunge Zitto Kabwe ambaye anadaiwa kuzisambaza taarifa hizo kwa baadhi ya vyombo vya habari kinyume na sheria.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top