Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BHAA ACHUKUA FOMU ZA UWAKILISHI JIMBO LA BUBUBU.

MSIMAMIZI wa Uchaguzi mdogo Jimbo la Bububu, Ali Rashid Suluhu akimkabidhi fomu mgombea Uwakilishi katika jimbo hilo kupitia chama cha Mapinduzi, Hussein Ibrahim Makungu (Bhaa) wakati mgombea huyo alipokwenda kuchukua fomu katika ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Wilaya ya Magharibi zilizopo Maisara mjini Unguja.(Picha na Haroub Hussein).

MGOMBEA Uwakilishi Jimbo la Bububu kupitia CCM, Hussein Ibrahim Makungu (Bhaa) akionesha fomu ya kugombea uwakilishi katika Jimbo hilo nje ya ofisi za Tume ya Uchaguzi (ZEC) Wilaya ya Magharibi zilizopo Maisara mjini Unguja.(Picha na Haroub Hussein).

MGOMBEA Uwakilishi Jimbo la Bububu kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, Hussein Ibrahim Makungu (Bhaa) akionesha fomu za kugombea Uwakilishi katika jimbo hilo akitoka katika ofisi za tume Maisara kulia kwake,Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Magharib ,Yussuf Mohammed na Mbunge wa Bububu, Juma Sururu wakiwa na wanachama wengine wa CCM.(Picha na Haroub Hussein).
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright 2025 EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG | Designed By Code Nirvana