Viongozi wa chama cha Tadea kutoka kushoto ni Tiba Deus katibu wa Tadea Mkoa wa Mwanza, Richar Gagi Mwenyekiti wa Tadea Mkoa wa Mwanza, Juma Ally Khatibu Katibu Mkuu wa Tadea Taifa na Charles Dotto Lubala Naibu katibu Mwenezi wa Taifa wa chama cha Tadea katika mkutano na waandishi wa habari.
Juma Ally Kahtibu Katibu wa Taifa wa chama cha Tadea akieleza kusudi la ziara ya chama cha Tadea katika Mkoa wa Kanda ya Ziwa huku waandishi wa habari.
Hii hapa ni kadi ya uanachama ambayo katibu wa taifa wa chama cha Tadea Juma Ally Khatibu ameishikilia akiwaonya waandishi jinsi taswira yake ilivyo.
Loading...





Post a Comment