Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Hospitali ya Temeke yanufaika na ufadhili wa mradi wa maji kutoka SBL


Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti  Bw.Steve Gannon (kushoto) akitekja maji katika mradi wa maji uliodhaminiwa na kampuni ya bia ya Serengeti katika hospitali ya Temeke jijini Dar es Salaam leo kulia ni mkuu wa wilaya ya Temeke bi Sophia Mjema.
 Mkurugenzi Mtendaji SBL,  Steve Gannon (kushoto) na mkuu wa wilaya ya Temeke Bi Sophia Mjema (kulia ) wakizindua rasmi mradi wa maji wenye hifadhi wa zaidi ya lita 40000 kwa wakati mmoja ulidhaminiwa na kampuni ya bia ya Serengeti. Wengine ni wafanya kazi na wageni waalikwa katika hospitali ya temeke.
Mkurugenzi mtendaji wa SBL. Teve Gannon akimtwish ndoo ya maji mkuu wa wilaya ya temeke bi Sophia Mjema
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright 2025 EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG | Designed By Code Nirvana
Back To Top