Meneja
wa NMB Kanda ya Ziwa , Straton Chilongola akiwasalimia wanafunzi wa
Shule ya Msingi Sota iliyopo Rorya mkoani Mara, baada ya kuwakabidhi
madawati, meza pamoja na viti nyenye thamani ya shilingi milioni tano.
Meneja
wa NMB Kanda ya Ziwa, Straton Chilongola (kushoto) akikabidhi moja ya
madawati 50 yenye thamani ya shilingi milioni 5 kwa mkuu wa Shule ya
Msingi Muungano , Maswali Buyunge ikiwa ni sehemu ya msaada uliotolewa
na NMB kwa shule hiyo
Wanafunzi
wa Shule ya Msingi Muungano iliyopo kijijini Kirejeshi ,wilaya ya
Busega mkoani Simiyu, wakiwa wameketi katika baadhi ya madawat 50
waliyokabidhiwa na benki ya NMB ikiwa ni msaada wa benki ya NMB kwa
shule hiyo..
Post a Comment