Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

NMB YAKABIDHI MADAWATI

 
Meneja wa NMB Kanda ya Ziwa , Straton Chilongola akiwasalimia wanafunzi wa Shule ya Msingi Sota iliyopo  Rorya mkoani Mara, baada ya kuwakabidhi madawati, meza pamoja na viti nyenye thamani ya shilingi milioni tano.
 
Meneja wa NMB Kanda ya Ziwa, Straton Chilongola (kushoto) akikabidhi moja ya madawati 50 yenye thamani ya shilingi milioni 5 kwa mkuu wa Shule ya Msingi Muungano , Maswali Buyunge ikiwa ni sehemu ya msaada uliotolewa na NMB kwa shule hiyo 
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Muungano iliyopo kijijini Kirejeshi ,wilaya ya Busega  mkoani Simiyu, wakiwa wameketi katika baadhi ya madawat 50 waliyokabidhiwa na benki ya NMB ikiwa ni msaada wa benki ya NMB kwa shule hiyo..
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top