Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TASWIRA ZAIDI ZA ZIARA YA RAIS KIKWETE NCHINI CANADA


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipanda mti katika bustani ya Jumba la Rideau Hall jijini Ottawa katika siku ya pili ya ziara yake rasmi nchini Canada huku akishuhudiwa na Gavana Jenerali wa nchi hiyo Mhe David Johnson na mkewe Mama Sharon Johnson Alhamisi Oktoba 4, 2012
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka shada la maua katika kaburi la askari shujaa katika bustani ya Confederation Square jijini Ottawa Alhamisi Octoba 4, 2012
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi katika kitabu cha wageni mara baada ya kuweka  shada la maua katika kaburi la askari shujaa katika bustani ya Confederation Square jijini Otttawa Alhamisi Octoba 4, 2012
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisimama wakati wimbo wa Taifa wa Tanzania ukipigwa  mara baada ya kuweka  shada la maua katika kaburi la askari shujaa katika bustani ya Confederation Square jijini Ottawa Alhamisi Octoba 4, 2012. Mbele yake ni baadhi ya veterani wa kijeshi waliohudhuria hafla hiyo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi katika kitabu cha wageni mara baada ya kupokelewa katika Bunge la Seneti la Canada. Kulia ni Spika wa Bunge hilo Mhe Noel Kinsella, anayefuatiwa na Waziri Mkuu wa Canada Mhe Stephen Harper na Spika wa Bunge la wawakilishi la Canada (House of Commons), Mhe Andrew Scheer pamoja na viongozi wengine wa bunge hilo Alhamisi Oktoba 4, 2012
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Waziri Mkuu wa Canada Mhe Stephen Harper katika jengo la Bunge la Seneti la nchi hiyo, ambapo viongozi hayo wawili walifanya mazungumzo Alhamisi Oktoba 4, 2012
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi ya sanduku la Zanzibar (Zanzibar chest) Waziri Mkuu wa Canada Mhe Stephen Harper katika jengo la Bunge la Seneti la nchi hiyo Alhamisi Oktoba 4, 2012
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top