Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SNEIDJER SASA NJIA NYEUPEE KUTUA MAN UNITED, ATIBUANA NA INTER MILAN AFUNGIWA VIOO


KLABU ya Manchester United sasa imekaa mkao wa kula baada ya Wesley Sneijder kuambiwa hawezi kucheza Inter Milan tena hadi akubali kupunguziwa mshahara wake wa pauni 200,000 kwa wiki.
Kiungo huyo Mholanzi, amegoma kupunguziwa mshahara Inter na Mkurugenzi wa klabu hiyo, Marco Branca amesema hatahusishwa kwenye mipango ya klabu hiyo akubali kupunguziwa mshahara.
Sneijder, ambaye aliiongoza Inter chini ya kocha Jose Mourinho kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa na ya nyumbani mwaka 2010, alikuwa anatakiwa na klabu kadhaa ikiwemo Man United, lakini Sir Alex Ferguson aliamua kuachana naye kutokana na mshahara mkubwa alioutaka.

On the move? Wesley Sneijder has been told he will not play for Inter Milan until he takes a pay cut
Wesley Sneijder
Lakini sasa kuna uwezekano Mholanzi huyo akatua United January.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28, alisaini mkataba mpya wa miaka mitano wenye mshahara huo mnono wa pauni 200,000 kwa wiki mwaka 2010, lakini Inter hivi sasa iko katika mpango wa kupunguza bajeti yake na matokeo yake ni pamoja na kumuuzaa kipa Julio Cesar kwenda QPR msimu huu.
Branca ametoa taarifa kuhusu Sneijder, ambaye ametemwa kwenye kikosi kinachomenyana na Parma leo, katika tovuti ya klabu hiyo.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top