Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

AFTER SKUL BASH 2012’ YAACHA GUMZO, DAR UFUKWE WA KAWE




















WAPENZI wa burudani hususan wanavyuo, jana walipata kitu roho inapenda katika tamasha kubwa la wanavyuo lililofanyika ufukwe Mbalamwezi uliopo Kawe jijini Dar tamasha ambalo liliitwa jina la kijanja, ‘After Skul Bash’.
Wadau hao waliofurika ufukweni hapo walikonga nyoyo zao kwa kupata burudani kutoka kwa wasanii wakongwe na chipukizi wenye vipaji ambao walipewa nafasi ya kuonesha maukali yao.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top