WAPENZI wa burudani hususan wanavyuo, jana
walipata kitu roho inapenda katika tamasha kubwa la wanavyuo lililofanyika
ufukwe Mbalamwezi uliopo Kawe jijini Dar tamasha ambalo liliitwa jina la
kijanja, ‘After Skul Bash’.
Wadau hao waliofurika ufukweni hapo walikonga nyoyo zao kwa kupata burudani kutoka kwa wasanii wakongwe na chipukizi wenye vipaji ambao walipewa nafasi ya kuonesha maukali yao.
Wadau hao waliofurika ufukweni hapo walikonga nyoyo zao kwa kupata burudani kutoka kwa wasanii wakongwe na chipukizi wenye vipaji ambao walipewa nafasi ya kuonesha maukali yao.
Post a Comment