Mara nyingi taarifa ya jambazi kuuwawa na mwanaume ni kitu cha kawaida lakini kwa jambazi kuuwawa kwa risasi iliyopigwa na mwanamke tena bibi mwenye umri wa miaka 61 anaekaribia 62 ni kitu kikubwa sana.
Kutokana na kumuua jambazi mmoja kati ya nane waliomvamia nyumbani kwake, baada ya kumuua huyo mmoja wale wengine waliobaki wakakimbia.
Chanzo: Millard Ayo
Kutokana na kumuua jambazi mmoja kati ya nane waliomvamia nyumbani kwake, baada ya kumuua huyo mmoja wale wengine waliobaki wakakimbia.
Chanzo: Millard Ayo
Post a Comment