Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

PROF>MBARAWA AWATAKA WAMILIKI YA VYOMBO VYA HABARI NA WAANDAAJI WA VIPINDI WAANDAE VIPINDI VYA KUIELIMISHA JAMII JUU YA MFUMO MPYA WA DIGITAL

 




Na Hamisi Mohamedi- Morogoro
Waziri wa mawasiliano nchini Prof.Makame Mbarawa amefungua kikao cha pili cha mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA kilichofanyika jijini Dar es salam.
Akizungumza katika ufunguzi huo Prof. Mbarawa amesema serikali imejipanga vyema katika kukabiliana na mabadiliko ya kutoka katika mfumo wa Analogy na kwenda Digital.

Prof. Mbarawa amewataka mawakala walioidhinishwa na mamlaka hiyo ya mawasiliano nchini TCRA wazingatie ubora wa matangazo kama inavyotarajiwa na wengi.
Pia kwaupande wa wamiliki wa nyombo vya habari Pro. Mbarawa amewataka wamiliki hao kujikita katika kutayarisha vipindi vya kuelimisha jamii hasa jamii ilioko vijijini ambayo ndio kundi kubwa la watanzania wapo huko.
Mkutano huo wa siku mbili ulikuwa na lengo lakuwakumbusha wamiliki wa vyombo vya habari na waandaaji wa vipindi waandae vipindi vya kuielimisha jamii
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top