Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

UGANDA ONE ALIVYOMWAGA WINO SIMBA SC LEO

Kulia, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe na kushoto ni wakala wa kipa namba moja wa Uganda, Abbel Dhaira kushoto akihesabu dola za Kimarekani alizolipwa kipa huyo kusaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Simba SC


K
Kipa namba moja wa Uganda, Abbel Dhaira akisaini mkataba mbele ya Katibu wa Simba SC, Evodius Mtawala .


Wakala wa Dhaira akihesabu mpunga
Dhaira anatia dole gumba


Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe kushoto akiwa na kipa namba moja wa Uganda, Abbel Dhaira wakati akisaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Simba SC.

Chanzo: Bin Zubeiry



 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top