Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

LORI LAKWAMA DARAJANI KATIKA KIJIJI CHA NYUMBIGWA MKOANI KIGOMA BAADA YA MVUA KUBWA KUHARIBU BARABARA NA KUPELEKEA MABASI KUSUBIRI KWA MUDA MREFU ASUBUHI HII


 

Lori La Mafuta likiwa limekwama kwenye kwenye Daraja katika Kijiji Cha Nyumbigwa kutokana na Mvua Kubwa iliyosababisha barabara kupitika Kwa taabu sana na kupelekea Kukata Mawasiliano kati ya Kigoma na Kasulu Asubuhi na Kupelekea foleni ndefu ya mabasi yanayotoka Kigoma kuelekea katika Mikoa ya Mwanza, Kagera na Dar Es Salaam Kuendelea Kukaa Kwenye foleni Muda mrefu ambapo mpaka sasa haijulikani ni muda gani na lini lori hilo lililozama litatoka kutoka na mvua kubwa zinavyonyesha na kupelekea barabara kupitika kwa taabu
Mabasi yatokeayo Kigoma Kuelekea Mikoa ya Mwanza, Dar Es Salaam na Dar Es Salaam yakisubiri Lori liweze kunasuliwa katika tope hilo darajani na kuweza kuendelea na Safari.
Magari yakiwa kwenye foleni huku Askari wa Usalama Barabarani akishauriana na Baadhi ya Madereva Baada ya lori la mafuta Kukwama darajani na kupelekea Kukata Mawasiliano kati ya Kigoma na Kasulu Asubuhi Hii.Picha Na Ferouz Mwamba
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top