Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MRADI WA MAJI WAZINDULIWA CHOKOCHO PEMBA.

 

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akiuzindua rasmi mradi wa maji safi na salama wa Michenzani hadi Chokocho Mkoa kusini Pemba ikiwa ni shamra shamra za kutimiza miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya mwaka 1964.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akiangalia maji katika kisima cha maji kilichopo Skuli ya Chokocho mara baada ya kuuzindua mradi wa maji safi na salama wa Michenzani hadi chokocho.
Waziri wa Sayansi na Teknolojia wa Serikali ya Muungano Profesa Makame Mnyaa Mbarawa ambaye ni muanzilishi wa mradi huo akitoa maelezo mbele ya Mgeni rasmi Balozi Seif na kuchangia mipira na mabomba ya maji kusambazia maji katika Jimbo la Mkanyageni.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top