Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WANACHAMA WA FREEMASON TANZANIA HAWA HAPA



Sir Andy Chande akiwa na wenzake wakipanda Miti jijini Tanga kama moja ya shughuli zao za kijamii

Tanzania ina wanachama hai zaidi ya 600 wa kundi la watu wenye imani ya siri ya Freemasons wakiwa wanatokana na watu wa kada mbalimbali wakiwemo maarufu, huku ikielezwa kwamba miongoni mwao hakuna viongozi wakuu wa serikali.
Hayo yalibainishwa na Kiongozi wa kundi la Freemasons katika eneo la Afrika Mashariki, Jayantilal Keshavji Chande maarufu kama Sir Andy Chande.
Kiongozi huyo Mtanzania mkazi wa Dar es Salaam mwenye asili ya Kiasia, alisema licha ya Tanzania kuwa na wanachama hao, kwa sasa idadi ya wanachama duniani inapungua tofauti na inavyoonekana sasa kuwa wanaongezeka kutokana na kuibuka maneno mengi kuhusu kundi hilo.
Alisisitiza kuwa si rahisi kumjua mwanachama wa kundi hilo, bali wenyewe ndio wanaofahamiana, akisema ni siri na kwamba wenyewe wanakutana katika vikao mbalimbali mara moja kwa mwezi au zaidi.
Alisema nchini kuna wanachama zaidi ya 600 wakiwemo wafanyabiashara, watumishi serikalini, walimu pamoja na wanataaluma mbalimbali wanaoheshimika sana na kusisitiza kuwa kuna maneno mengi yanayosemwa kuhusu kundi hilo, ambayo siyo ya kweli.
Alisema idadi ya wanachama wake duniani inazidi kupungua kutoka milioni nane hadi sasa wako milioni sita, tofauti na wengi wanaodhani kuwa idadi hiyo inaongezeka.
Chande alizungumza na mwandishi wa habari hizi katika Shule ya Sekondari ya Shaaban Robert ambako yeye ni Mwenyekiti wa Bodi ya shule alipozungumzia maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwake.
Alisema duniani kuna watu wazito wengi ambao ni wanachama wa kundi hilo kama majaji wakubwa na hata Binamu wa Malkia Elizabeth wa Uingereza ni kiongozi mkubwa wa kundi hilo.
Akizungumzia masharti ya kujiunga na kundi hilo, Chande alisema ni lazima mwanachama huyo awe anaamini katika Mungu bila kubagua iwapo ni Mkristo au Muislamu.
Alisema pia ni lazima anayetaka kujiunga awe na umri unaozidi miaka 21 na walio chini ya umri huo hawaruhusiwi kujiunga na lazima familia ya anayetaka kujiunga na wanandugu wafahamu kuwa umejiunga na kundi hilo.
“Unajua katika imani hii kuna michango mbalimbali ambayo unatakiwa kutoa ambayo ni zaidi ya dola milioni sita (karibu Sh bilioni 10), hivyo ni lazima ndugu wafahamu ili kuepuka matatizo utakapotakiwa kutoa,” alisisitiza.
Alisema si kweli kuwa wenye fedha wengi ni wanachama wa kundi hilo huku akikanusha wanachama wanajiunga kwa ajili ya kupata fedha, bali ni dini kama imani nyingine.
Alisisitiza kuwa hakuna ukweli kwamba wanaopata mafanikio katika maisha wakiwa ndani ya imani ya Freemasons kuwa wanatoa kafara watu wao wa karibu kwa lengo la kupata utajiri.
Chande pia alisema hairuhusiwi kutumia jina la kundi hilo kwa nia ya kujipatia nafasi sehemu mbalimbali au kuongeza nafasi katika chuo au shule.
Download Our App

249 comments

«Oldest   ‹Older   201 – 249 of 249   Newer›   Newest»

Ahadi ni ya wale wanaoiandaa leo, Njia ya kupata pesa haraka bila kumuumiza mtu yeyote katika maisha na kuwa bora zaidi kwenye maisha, ni kwa kuungana na agizo la Freemasonry, Wewe, tunapata tamaa zako zote za moyo, Mtu mwenye busara kutatua tatizo, kwanini mtu mwenye busara aepuke, ikiwa una nia, WhatsApp +31687718900 Unaweza kutuma kwa urahisi ujumbe moja kwa moja kupitia Instagram kwa kurasa rasmi, @Freemasonry001 au Email: agentpatrick5@gmail.com Kukaa kila wakati kutoka kwa watu hasi wana shida kwa kila suluhisho.

Reply

HAIL LUCIUFER HOW ILLUMINATI BROTHERHOOD MADE ME RICH. Hello! My name is Mr Gonzalez I'm from Germany i want to share this testimony with you. "I have been living a life of poverty for the past many years. Then, to feed my family was a serious challenge. I almost lost my senses due to much thinking. I have searched everywhere, do all manners of work but non could give me the a different things on the net about “Illuminati''. At first i was scared thinking that they will tell me to bring human being for sacrifice. But i still went on to apply but could not join. But one day I traveled to a nearby city to see a friend for financial assistance to start a business. He was actually the one that told me to come and see him. I spent few days with him. We had several discussions and I used those opportunities to explained more of my predicament to him and he promised to help me. From there, I knew very well that my life has already changed for the better. The next day when he arrived from the office, He explained to me secretes of his wealth. There he told me about the ILLUMINATI BROTHERHOOD. I was not afraid because I have already made up my mind. But he also made me to understand everything that there is no human sacrifice and I agreed to join the society. He helped me to obtain my membership form. Then after the membership form was fully processed, I was invited to Paris Saint, France. district where my initiation ceremony took place and I was given $730,000 US dollars and a car also worth thousands of dollars to fit the members of the club. It was a surprise to me because I have never received such money before. After the initiation, seven days later, I was also invited for the main awarding ceremony and I was also given another $900,000 US dollars . Today, I have a good business that is moving fine. My husband and my kids are living fine and I am so happy today". If you are
interested in joining the
ILLUMINATI SOCIETY contact Lord Grand Master Via.. (WhatsApp +33605803296)
he was the one that help
me. this is the little help i can give you

Reply

HAIL LUCIUFER HOW ILLUMINATI BROTHERHOOD MADE ME RICH. Hello! My name is Mr Gonzalez I'm from Germany i want to share this testimony with you. "I have been living a life of poverty for the past many years. Then, to feed my family was a serious challenge. I almost lost my senses due to much thinking. I have searched everywhere, do all manners of work but non could give me the a different things on the net about “Illuminati''. At first i was scared thinking that they will tell me to bring human being for sacrifice. But i still went on to apply but could not join. But one day I traveled to a nearby city to see a friend for financial assistance to start a business. He was actually the one that told me to come and see him. I spent few days with him. We had several discussions and I used those opportunities to explained more of my predicament to him and he promised to help me. From there, I knew very well that my life has already changed for the better. The next day when he arrived from the office, He explained to me secretes of his wealth. There he told me about the ILLUMINATI BROTHERHOOD. I was not afraid because I have already made up my mind. But he also made me to understand everything that there is no human sacrifice and I agreed to join the society. He helped me to obtain my membership form. Then after the membership form was fully processed, I was invited to Paris Saint, France. district where my initiation ceremony took place and I was given $730,000 US dollars and a car also worth thousands of dollars to fit the members of the club. It was a surprise to me because I have never received such money before. After the initiation, seven days later, I was also invited for the main awarding ceremony and I was also given another $900,000 US dollars . Today, I have a good business that is moving fine. My husband and my kids are living fine and I am so happy today". If you are
interested in joining the
ILLUMINATI SOCIETY contact Lord Grand Master Via.. (WhatsApp +33605803296)
he was the one that help
me. this is the little help i can give you

Reply

HAIL LUCIUFER HOW ILLUMINATI BROTHERHOOD MADE ME RICH. Hello! My name is Mr Gonzalez I'm from Germany i want to share this testimony with you. "I have been living a life of poverty for the past many years. Then, to feed my family was a serious challenge. I almost lost my senses due to much thinking. I have searched everywhere, do all manners of work but non could give me the a different things on the net about “Illuminati''. At first i was scared thinking that they will tell me to bring human being for sacrifice. But i still went on to apply but could not join. But one day I traveled to a nearby city to see a friend for financial assistance to start a business. He was actually the one that told me to come and see him. I spent few days with him. We had several discussions and I used those opportunities to explained more of my predicament to him and he promised to help me. From there, I knew very well that my life has already changed for the better. The next day when he arrived from the office, He explained to me secretes of his wealth. There he told me about the ILLUMINATI BROTHERHOOD. I was not afraid because I have already made up my mind. But he also made me to understand everything that there is no human sacrifice and I agreed to join the society. He helped me to obtain my membership form. Then after the membership form was fully processed, I was invited to Paris Saint, France. district where my initiation ceremony took place and I was given $730,000 US dollars and a car also worth thousands of dollars to fit the members of the club. It was a surprise to me because I have never received such money before. After the initiation, seven days later, I was also invited for the main awarding ceremony and I was also given another $900,000 US dollars . Today, I have a good business that is moving fine. My husband and my kids are living fine and I am so happy today". If you are
interested in joining the
ILLUMINATI SOCIETY contact Lord Grand Master Via.. (WhatsApp +33605803296)
he was the one that help
me. this is the little help i can give you

Reply

It is a well-known fact that Illuminati consist of Multi Millionaires,
Billionaires who have major influence regarding most global affairs,
including the planning of a New World Order. Many world leaders,
Presidents, Prime Ministers, royalty and senior executives of major Fortune
500 companies are members of Illuminati. join a secret cabal of mysterious
forces and become rich with boundless measures of wealth in your company or
any given business, the great Illuminati can make everything possible just
contact : join666cult@gmail.com or WhatsApp +1(646)481-0376 EL
IAI LEXION Thaddeus Iam Vice-President of Citizen Outreach THE ILLUMINATI
ORGANIZATION

Do not hesitate to contact us by WhatsApp.

Whatsapp: +1(646)481-0376
Email : join666cult@gmail.com

BEWARE OF SCAMMERS, THERE IS NO SUCH THING AS REGISTRATION FEE AND YOU MUST
BE ABOVE THE AGE OF 18YRS.
THANKS...

Reply

It is a well-known fact that Illuminati consist of Multi Millionaires,
Billionaires who have major influence regarding most global affairs,
including the planning of a New World Order. Many world leaders,
Presidents, Prime Ministers, royalty and senior executives of major Fortune
500 companies are members of Illuminati. join a secret cabal of mysterious
forces and become rich with boundless measures of wealth in your company or
any given business, the great Illuminati can make everything possible just
contact : join666cult@gmail.com or WhatsApp +1(646)481-0376 EL
IAI LEXION Thaddeus Iam Vice-President of Citizen Outreach THE ILLUMINATI
ORGANIZATION

Do not hesitate to contact us by WhatsApp.

Whatsapp: +1(646)481-0376
Email : join666cult@gmail.com

BEWARE OF SCAMMERS, THERE IS NO SUCH THING AS REGISTRATION FEE AND YOU MUST
BE ABOVE THE AGE OF 18YRS.
THANKS...

Reply

Dzień dobry,
Jesteśmy profesjonalnym zespołem kredytowym Cyber Tech z dużym kręgiem wokół
na całym świecie zostało zainfekowanych ponad 3 milionami szkodliwych programów debetowych i
skimmerów, otrzymujemy pustą kartę bankomatową i doładowujemy ją dużą ilością pieniędzy
szybko i bezpiecznie, za pomocą których można wypłacić gotówkę w euro lub
Frank szwajcarski z bankomatów i może być używany przez dowolny system POS
Uwaga: nasze karty są nielegalne, ale zaufaj mi, że są w 100% bezpieczne
Kontakt: Daneil Jerry LEE
E-mail: lee.jerry5555@gmail.com

Reply

Halo,
Sisi ni timu ya kitaalam ya Mkopo wa Tech na pete kubwa karibu
dunia imeambukizwa zaidi ya zisizo milioni 3 za malipo na
skimmers, tunapata kadi tupu ya ATM na kuipakia na pesa nyingi
haraka na salama, ambayo mtu anaweza kutoa Fedha iwe kwa euro au
Franc ya Uswisi kutoka kwa ATM na inaweza kutumika na mfumo wowote wa POS
Kumbuka: Kadi zetu ni haramu lakini niamini salama yake 100%
Wasiliana: Daneil Jerry LEE
Barua pepe: lee.jerry5555@gmail.com

Reply

Loan Offer.


You are welcome to the company in this company We give personal loan

and business loans for an interest rate of 2% only. Loan from $2,000

to $5000,000 If you need a loan for your business please contact us as

soon as possible to process your application loan form


LOAN APPLICATION FORM FILL AND RETURN NOW.


Full Name____________________

Location___________________

Country____________________

State________________________

Sex________________________

Phone Number______________________

Amount Required_____________

Duration____________________

Age________________________


Contact our office with the email below Email; markjoeloancompany7@gmail.com


Mr Mark Joe

Reply

Habari!!! Je, una nia ya kujiunga na udugu mkubwa wa Illuminati ili uwe tajiri na maarufu maishani? Haya ndiyo manufaa wanayopewa wanachama wapya *Zawadi ya Pesa Taslimu ya Dola 500,000 za Marekani *Gari Jipya la chaguo lako *Nyumba ya Ndoto iliyonunuliwa katika nchi uliyochagua mwenyewe *Likizo ya Mwezi Mmoja (imelipiwa kikamilifu) kwenye eneo lako la utalii la ndoto. $100,000 Dola ya Marekani kwenye akaunti yako ya benki kila wiki kama mwanachama ikiwa una nia unaweza Kusema NDIYO SASA.

Whatsapp sasa:+1 (618) 440-2248

Reply

HABARI
mtazamaji nipo hapa kutoa ushuhuda wangu jinsi hatimaye nilivyojiunga na mtaa wa Illuminati na kuwa TAJIRI, MAARUFU NA MWENYE NGUVU, nilijitahidi sana kuwa mwanachama wa undugu, lakini nilitapeliwa mara kadhaa, kabla sijapata ushuhuda. kwenye mtandao hivyo nikawasiliana na wakala, niliogopa sana angeniomba pesa nyingi kabla sijaingia kwenye mwanga, lakini kwa mshangao mkubwa aliniomba tu ninunue vitu ambavyo nilifanya na leo niko. Furaha sana kumwambia ulimwengu kuwa mimi ni tajiri na nimeweza kujenga biashara nyingi kwa haya yote nilipata papo hapo kiasi cha dola milioni 7 kwenye akaunti yangu ya kibinafsi na pia ninajulikana ulimwenguni kote kwa biashara ambayo Undugu wa Illuminati ulinipa na pia nina uwezo wa kufanya ninachotaka ... najua kuwa watu wengi wanaweza kuwa kwenye njia yangu pia kutafuta msaada hapa kama wewe.
barua pepe rasmi: illuminatilight676@gmail.com
Nambari ya WhatsApp: (+ 1 (573) 982-0773)


JIHADHARI NA MATAPELI NA LAZIMA UWE NA MIAKA 18.

Reply

Kuma la mamamamamazenu

Reply

hamjambo nyote naitwa Alexis Andrewi natokea Italy natoa ushuhuda jinsi nilivyojiunga na illuminati brotherhood,nilikuwa najaribu kujiunga na shirika hili kwa miaka mingi sasa,nikatapeliwa na wakala feki huko south Africa na Nigeria, nilikuwa chini sikuweza kujilisha tena mimi na familia yangu na nilijaribu kutafuta pesa kwa njia zote lakini haikufanikiwa, niliogopa kuwasiliana na wakala yeyote wa illuminati kwa sababu wamekula pesa yangu, siku moja nilikutana na post ya mtu. akitoa ushuhuda wa kumshukuru mtu anayeitwa David Mark kwa kumsaidia kujiunga na udugu wa illuminati, kisha nikatazama barua pepe ya mtu huyo na namba ya simu iliyoandikwa hapo, niliogopa kuwasiliana naye kwa sababu nilitapeliwa mara nyingi na matapeli. na kwenda na zile pesa ndipo nilichanganyikiwa sana nikaamua kuwasiliana na mtu aliyepewa ushuhuda nikampigia na nikawasiliana naye kwa simu kabla hajaanza kunisimulia stori yake ya lini anataka kujiunga. aliniambia kila kitu kufanya, ndipo nilipoamua na kumpigia simu wakala David Mark na akaniambia kila kitu cha kufanya na mimi nilianzishwa, cha kushangaza nilipewa faida yangu ya kuwa mwanachama mpya wa udugu mkubwa wa illuminati nilifurahi sana, wale wanaojaribu kujiunga na shirika hili hii ni fursa yako kwako kujiunga WASILIANA NA MR David Mark kwa WhatsApp namba +2348140101327

Reply

JINSI UNDUGU WA ILLUMINATI UNANIFANYA TAJIRI NA MAARUFU. Mimi ni mshiriki wa udugu wa illuminati, nataka kumshukuru Bwana Lucifer, kwa kile alichonitendea, alibadilisha maisha yangu, analeta furaha na furaha katika maisha yangu, ninaishi maisha mazuri leo ni kwa sababu wa udugu wa illuminati, nimekuwa nikijaribu maisha yangu yote kujiunga na udugu wa illuminati, nilitapeliwa mara nyingi lakini bado sikati tamaa, kwa sababu unapokata tamaa maishani, maisha pia yatakata tamaa kwa mwanadamu, ikiwa utakata tamaa. wametapeliwa mara nyingi sana ushauri wangu kwako usikate tamaa maana undugu wa illuminati ni kweli, nilijiunga na illuminati halisi nikilipa 300usd tu, kujiunga na illuminati, nataka mjue leo, pesa ya kujiunga, ushauri wangu kwenu nyote fanyeni maamuzi na kujiunga na udugu wa illuminati, mchakato wangu wa unyago ulipokamilika kiasi cha mafao niliyopewa ni $1,000,000 ili kuanza maisha mapya, hii ndio sababu ya mimi kuweza. usiache kusifia udugu wa illuminati, ikiwa uko katika matatizo ya aina yoyote au wewe katika usaidizi wa maisha, ushauri wangu kwako ni kujiunga na udugu wa illuminati ili matatizo yako yote yaweze kutatuliwa maishani, ili ujiunge na udugu wa illuminati unaweza kuwasiliana na Mr David Mark au WhatsApp naye (+2348140101327)

Reply

Jinsi ya kujiunga na udugu wa Illuminati666!!! Wasiliana na DAVID MARK au Whats'App (+2348140101327). Je, uko Ujerumani, Marekani, Ulaya au popote pale duniani unataka kuwa tajiri, maarufu, na kumiliki madaraka.. FAIDA WANAZOPEWA WANACHAMA WAPYA WANAOJIUNGA NA ILLUMINATI. 1. Zawadi ya Pesa yenye thamani ya $100,000, 00 USD baada ya kuanzishwa. 2. A New Sleek Dream CAR yenye thamani ya USD $100,000 USD 3.A Dream House iliyonunuliwa katika nchi uliyochagua 4. Likizo ya Mwezi Mmoja (imelipiwa kikamilifu) kwa kivutio chako cha utalii. 5.Kifurushi cha mwaka mmoja cha Uanachama wa Gofu 6.A V.I.P matibabu katika Viwanja vya Ndege vyote Duniani 7.Mabadiliko ya jumla ya Mtindo wa Maisha 8.Kufikia Bohemian Grove. 9. Malipo ya kila mwezi ya $300,000 USD kwenye akaunti yako ya benki kila mwezi kama mwanachama 10. Mwezi Mmoja umewekwa. miadi na Viongozi 5 Bora duniani na Watu 5 Maarufu Duniani wasiliana na DAVID MARK au kupitia Whats'App (+2348140101327) ukitaka. kujiunga.

Reply

I want ro join freemason 0759175903

Reply

Good news!!! Good news!!!
HAIL LIGHT!
Do you want to Be WEALTHY AND POWERFUL IN LIFE? Do you want to get Rich in a little time?Do you want the world to recognize you and listen to you when you speak? do you want to be in power and control? if yes, Be a part of the world most Capable brotherhood of Wealth and Power - The Illuminati Freemason-
If You Have Sickness or Affliction Of Any Kind Or Any Level, no matter how severe it is, Contact Us today for your liberation to health And Wholeness
ELEVATE YOURSELF FROM POVERTY AND FREE YOURSELF FROM THE BONDAGE OF SICKNESS WITH SPIRITUAL ATTACKS
Do not hesitate to contact us If We'll Be Of Help To YOU in any ways or at any situation you find yourself.
Here's our contact info
EMAIL/hangout: illuminatiinitiationtemplewa@gmail.com.
DIRECT SMS/WhatsApp / Calls To Masonic Registry +1(760)8922577

WARNING: only those who are interested to become a member of the church of Satan are allow to visit office or send a mail to the email address below. Do not contact if you are not interested and once you contact there is no going back. so think before contacting. BEWARE!!!

BE SURE THAT YOUR HEART DESIRES WILL COME THROUGH BECAUSE THAT IS WHAT WE ARE HERE FOR, making your dreams and wish come to REALITY.
HAIL LIGHT!

Reply

Wasiliana na Mr David Mark kwa email joinIlluminati1122@gmail.com au Whatsapp +2348140101327, Habari zenu wote naitwa Adams scott, natoka Italy natoa ushuhuda jinsi nilivyojiunga na illuminati brotherhood, nilikuwa najaribu kujiunga na shirika hili miaka mingi sasa, nilitapeliwa na wakala feki huko Afrika Kusini na Nigeria, nilikuwa chini sikuweza kujilisha mwenyewe na familia yangu tena na nilijaribu kupata pesa kwa njia zote lakini bila mafanikio, niliogopa kuwasiliana na illuminati yoyote. wakala kwa sababu wamekula pesa zangu, siku moja nilikutana na post ya mtu akitoa ushuhuda akimshukuru mtu anayeitwa David Mark kwa kumsaidia kujiunga na udugu wa illuminati, kisha nikatazama barua pepe ya yule mtu na namba ya simu iliyoandikwa hapo. , niliogopa kuwasiliana naye kwa sababu nilitapeliwa mara nyingi na matapeli na kwenda na pesa basi nilichanganyikiwa sana nikaamua kuwasiliana na mtu aliyepewa ushuhuda nikampigia na nikawasiliana naye simu kabla ya e alianza kunisimulia kisa chake kuhusu alipotaka kujiunga aliniambia kila kitu cha kufanya, ndipo nilipoamua na kumpigia simu wakala David Mark akaniambia kila kitu cha kufanya na nikaanzishwa, cha kushangaza nikapewa yangu. faida ya kuwa mwanachama mpya wa udugu mkubwa wa illuminati nilifurahi sana, kwa wale mnaojaribu kujiunga na shirika hili hii ni fursa yenu ya kujiunga WASILIANA NA MR David Mark kwa barua pepe joinIlluminati1122@gmail.com au WhatsApp number +2348140101327

Reply

Ninamshukuru sana Dk dawn acuna, aliandika uchawi wa mapenzi ambao ulimrudisha mpenzi wangu wa zamani katika masaa 48, shukrani kwake, ikiwa una hali kama hiyo.
*Ukitaka kumrudisha mpenzi wako.
*Kama unataka kupata mimba.
*Ukitaka kuacha kuharibika kwa mimba.
Ikiwa unataka kuponya aina yoyote ya ugonjwa. Na wengine,
Wasiliana naye yeye ndiye mtu sahihi wa kutatua tatizo hili.
Barua pepe: { dawnacuna314@gmail.com }
Whatsapp: +2348032246310

Reply

rissp/m/cycle/20/626061/l

14-nov-20 to13-may-21
26-12-2020
ruls19 motor vehicle

Reply



HELLO VIEWERS.
YOU CAN JOIN THE ILLUMINATI TODAY IT DOESN'T MATTER WHERE YOU'RE IN THE
WORLD.
Do you desire freedom, Fame, Riches, Powers, and do you want all your
dreams to come to pass? Are you an upcoming artist, dancer, businessman etc
the Great Illuminati Society offers you a life time opportunity of making
your desires come to accomplishment. Join the Illuminati and have all your
heart desires come through, Fast cars, fame, Money, Influence and power.
Earn $50,000 monthly for becoming a member and $500,000 as a benefit of
being a full member of the great movement Illuminati to start up a new life
again...
No dirty game no sacrifices and No evil....is an organization of
peace unity and love, to sign up text or call the great council on Whats-app
number:+12677129387
Email address: lordhenrygoldberg666@gmail.com

Reply

Emmanuel Shilatu, kiukweli kabisa kitendo chako kupitia blog yako hii kuwaacha Watanzania innocent victims waibiwe kwa Kudanganywa utajiri sio kuwatendea haki!.

Kwa nyinyi Watanzania wenzangu japo ni kweli secret organisations kama freemasons na illuminati zipo na wanachama wake ni matajiri, lakini hawa wote kwenye blog hii wanaoleza jinsi ya kujiunga kwa ahadi ya utajiri, wote hawa ni matepeli tupu, utatapeliwa bure kwa kuambiwa utoe ada ya kujiunga, kujiunga na hizi secret organisations zote ni bure!, na hakuna ahadi yoyote ya utajiri!.

Hivyo hawa wote humu ni matapeli tupu mwenye blog hii Emmanuel Shilatu hawatendei haki kuachiia comments ili watu waendelee kutapeliwa!.

Emmanuel usiendelee kuacha watu watapeliwe ni kuwatendea dhambi!.

Naendelea kusisitiza hakuna utajiri wowote wa makundi haya ni mnatapeliwa tuu!.

Mimi ni Mtangazaji Pasco Mayalla 0754270403.

Reply

Hail lucifer

Reply

Nahitaji kujiunga please

Reply

shukrani zote kwa Illuminati kwa kubadilisha maisha yangu, sasa naweza kununua nyumba na magari nipendavyo na kuishi maisha mazuri ambayo nimetamani kuishi, wasiliana naye kama unataka kuwa tajiri, WhatsApp: +2349046229159

Reply

shukrani zote kwa Illuminati kwa kubadilisha maisha yangu, sasa naweza kununua nyumba na magari nipendavyo na kuishi maisha mazuri ambayo nimetamani kuishi, wasiliana naye kama unataka kuwa tajiri, WhatsApp:

Reply

shukrani zote kwa Illuminati kwa kubadilisha maisha yangu, sasa naweza kununua nyumba na magari nipendavyo na kuishi maisha mazuri ambayo nimetamani kuishi, wasiliana naye kama unataka kuwa tajiri, WhatsApp:+2349046229159

Reply

Nilichanganyikiwa na kuhuzunika mume wangu alipoomba talaka. Kisha nikawasiliana na Dk DAWN, baada ya kuona ushuhuda mwingi wa jinsi Dk DAWN alivyosaidia watu wengi kurejesha amani katika ndoa na uhusiano wao,
Pia niliona jinsi alivyotibu magonjwa mbalimbali na kusaidia watu wachache kutibu ugumba, niliamua kuwasiliana naye kwa msaada,
Aliahidi kusaidia wakati baada ya kumueleza kila kitu, nilimpa kila alichouliza na akafanya kazi yake, sasa mume wangu ananipenda sana na ananitendea kwa Matunzo. Nyumba yangu ni ya amani na imejaa furaha, shukrani zote kwa Dk DAWN,

Wasiliana naye ikiwa una tatizo lolote kwa sasa. Yeye ni WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

Reply

Nami naitaji kujiunga,
JINA Brayan
nipo mwanza
namba 0625034893
0682415040

Reply

I want to share my testimony of how i become rich and famous today… i was deeply strangled up by poverty and i had no body to help me, and also i search for help from different corners but to no avail… i see people around me getting rich but to me i was so ashamed of my self so i met a man on my way he was very rich and he was a doctor so he told me something and i think over it though out the day so the next day i looked up and i keep repeating what he said to me. ” if you want to get rich quick and be famous” you need to cross your heart and do what is in your mind so i tried all i could in other for me to do as he said so later on i told my fellow friend about this same thing then my friend was interested in my suggestions so i decided to look in the internet and i found their number so we decided to contact them and unfortunately we did as they instruct us to do and later they told us to get some requirements and all the rest… so this initiation took us just a week and later on the great fraternity gave us $1,200,000 to start up our lives…. and now am testifying that if in any case you want to join any great fraternity all you need to do is for you to contact them because they are legitimate and they do as what they instructed them to do, so you can as well WhatsApp: +233594515977 or you can Email: Markroland08011@gmail.com

Reply

T3L3GRAM|ICQ - killhacks FRESH UPDATED FULLZ-2024 USA UK CANADA

Fresh Fullz of USA UK CANADA Available
Recent Spammed & Legit info with guarantee
Updated-2024 databases with complete personal info
USA UK CANADA All states available

HERE WE ARE:

T3l3gram = (at)killhacks - (at)leadsupplier
I C Q = 752822040 - (at)killhacks
E mail = hacksp007 (at) mail 2 tor . com
Skyp3 = (at)peeterhacks

SSN DOB DL ADDRESS INFO
SIN DOB ADDRESS MMN INFO
NIN DOB DL ADDRESS SORT CODE INFO
BUSINESS COMPANY EIN FULL USA
YOUNG & OLD AGE FULLZ (1960 BELOW & 2002 ABOVE)
DL|ID FRONT BACK WITH SELFIE & SSN
UK|CANADA|FRANCE|ASIA DL FRONT BACK WITH SELFIE
HIGH CREDIT SCORE PROS|FULLZ|LEADS
UBEREATS & DOORDASH ACCOUNT OPENING FULLZ
KYC|SBA|UI|PUA BENEFITS FILLING FULLZ
CC FULLZ WITH CVV
DUMPS WITH PIN CODES TRACK 101 & 202
CARDING METHODS|LOAN METHODS
SCAM PAGES|SCAM PAGE SRIPTING
SMTP LINUX ROOT
CPANLES|SHELLS|RDP|SMTP

Many other spamming tools & tutorials are available
Complete Spamming|Hacking|Carding Courses available for learning
Feel free to approach us here

T3l3gram = (at)killhacks - (at)leadsupplier
I C Q = 752822040 - (at)killhacks
E mail = hacksp007 (at) mail 2 tor . com
Skyp3 = (at)peeterhacks

Reply
«Oldest   ‹Older   201 – 249 of 249   Newer›   Newest»

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top