Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

YANGA UWANJANI LEO KUUMANA NA BLACK LEOPARDS


 



Kikosi cha Yanga leo kinatarajia kushuka uwanja wa taifa kupimana nguvu na timu ya Black Leopard toka Afrika kusini. Timu hiyo iliyotua na msafara wa watu 42 inashiriki ligi kuu ya Premier Soccer League "PSL" nchini Afrika Kusini. Tunawatakia kila la heri Wanajangwani
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top