MKE wa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema
Shein, akimkabidhi mifuko ya saraju na fedha tasilim Katibu wa
Halmashauri ya Tawi hilo Mussa Nyange, kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa
tawi lao
WANACHAMA
wa Chama cha Mapinduzi Tawi la Bwereu wakimsikiliza Mke wa Rais wa
Zanzibar akiwahutubia na kutowa nasaha zake, wakati alipofika na Ujumbe
wa Wake wa Wawakilishi na Wabunge kukabidhi saruji na fedha kwa ajili ya
kukamilisha tawi lao kama walivyoahidiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM
Zanzibar Dk. Shein alipokuwa katika ziara ya kutembelea matawi ya CCM
Mkoa wa Kaskazini Unguja.
WAKE wa Wawakilishi na Wabunge CCM, wakimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akihutubia,
wakati alipofika katika kijiji cha Bwereu, kukabidhi Saruji na Fedha
tasilimu kwa ajili ya kumalizia Tawi la CCM Bwereu.
MKE wa Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akimkabidhi
msaada wa Saruji,Matofali, Mchanga na misahafu Mwalimu Dawa Vuai Haji,
kwa ajili ya madrasa hiyi. Na kufanya harambee ya kuchangia fedha kwa
ajili ya mafundi na kupatika kiasi cha shilingi laki tano. Katika
harambe hiyo.
Post a Comment