Raisi wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akikutana na madaktari wa kichina ambao waliwahi kufanya kazi za kitabibu Tanzania. Dr Shein ambaye yupo china kwa ziara ya kikazi alikutana na madaktari hao kwenye mji wa Nanjing uliopo kwenye jimbo la Jiangsu. Picha zaidi zitawajia punde
Loading...
RAIS DK. SHEIN AKUTANA NA MADAKTARI WA KICHINA WALIOWAHI KUFANYA KAZI TANZANIA
Raisi wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akikutana na madaktari wa kichina ambao waliwahi kufanya kazi za kitabibu Tanzania. Dr Shein ambaye yupo china kwa ziara ya kikazi alikutana na madaktari hao kwenye mji wa Nanjing uliopo kwenye jimbo la Jiangsu. Picha zaidi zitawajia punde
BLOG RAFIKI
-
-
Kwa Undani3 hours ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Post a Comment