Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ANUSURIKA KIFUNGO KWENYE KESI YA UBAKAJI ..... RIPOTI KAMILI HII HAPA

 

Mshitakiwa Isambi Mwazembe muda mfupi baada ya Mahakama kutupilia mbali kesi yake ya ubakaji
Mshitakiwa Isambi Mwazembe akiwa haamini kama kesi yake imeisha 

Mshitakiwa Isambi Mwazembe akiwa mwenye Furaha baada ya kesi yake kwisha 


Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imemwachia huru Mshitakiwa wa kosa la ubakaji aliyekuwa amehukumiwa kutumikia kifungo cha miak 30 na Mahakama ya Wilaya.
Mtuhumiwa huyo Isambi Mwazembe (29) alidaiwa kutenda kosa hilo Mwaka 2003 ambapo baada ya kukutwa na hatia alihukumiwa kifungo hicho kasha kutumikia kifungo miaka minne kabla ya Mahakama kuu kumwachia huru baada ya kukata rufaa.
Akipitia rufaa iliyoletwa mahakamani hapo Jaji Atuganile Ngwala amesema sababu kubw iliyosababisha atengue kifungo hicho ni kipengele kilichotumiwa na mahakama ya chini kuwa hakikufanywa kisheria.
Amesema kipengele kilichotumika ni kwamba Mahakama hiyo ilipokea PF 3 kutoka kwa mhanga wa kosa ilo badala ya kupokea kutoka kwa Daktari  aliyemfayia vipimo kama kielelezo.
Pia amesema katika maelezo ya daktari yanadai binti huyo kubakwa baada ya kukutwa na michubuko na damu sehemu zake za siri licha ya kumkuta na Bikra kitendo lichodai kuwa sentensi hiyo haikuwa na uhkika.  

PICHA NA MBEYA YETU
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top