Meneja Masoko wa TBL, Kushila Thomas akimkabidhi tuzo
Meneja Mkuu wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), David Mgwassa akimkabidhi tuzo mtoto wa marehemu Salum Abdallah.
Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe akikabidhi tuzo ya msanii Bora wa kiume wa mwaka kwa mwakilishi wa msanii Diamond Platnumz.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia utoaji wa tuzo hizo.
Ommy Dimpoz akipokea tuzo yake ya wimbo bora wa mwaka
kutoka kwa Wema Wepetu. Wimbo wa Me n U - Ommy Dimpoz Feat Vanessa Mdee ndio ulioshindaniwa na kuibuka kidedea.
Ommy Dimpoz akiwashukuru mashabiki wake. Wa pili kushoto ni Vanessa Mdee.
Ommy Dimpoz akiwashukuru mashabiki wake. Wa pili kushoto ni Vanessa Mdee.
Mtayarishaji Bora wa Mwaka Bongo Flava, Man Water akipokea tuzo yake.
Msanii
Mkongwe wa Muziki wa Hip Hop hapa nchini ambaye sasa amepotea kidogo
kwenye Gemu hilo,Gwamaka Kaihula a.k.a King Crezy G.K akiwasalimia
mashabiki wake pindi alipopanda jukwaani kutoa tuzo ya Msanii Bora wa
Hip Hop. ZAIDI BOFYA HAPO CHINI
DJ
Mseto toka Citizen TV ya Kenya akimuwakilisha mwanamuziki Jose
Chamilione baada ya kupata tuzo ya Wimbo bora wa Afrika Mashariki.
Ommy Dimpoz kwa Pozi aliondoka na tuzo tatu usiku wa kuamkia leo pale Mlimani City,jijini Dar
Mkurugenzi
wa Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Kushila Thomas (katikati)
akiwa katika picha ya pamoja na kiongozi wa Bendi ya The Kilimanjaro
(wana njenje),Waziri Ally pamoja na Mwana FA baada ya kukabidhi tuzo ya
heshima kwa bendi hiyo,wakati wa hafla ya utoaji tuzo kwa wanamuziki
mbali mbali iliyofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa Mlimani
City,jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Konyagi,David Mgwassa (kushoto) akikabidhi tuzo ya heshima kwa
Redd's
Miss Tanzania 2012,Brigit Alfred akikabidhi tuzo ya Msanii Bora wa Kike
iliyokwenda kwa Bint Komando Lady Jay Dee.Anayeipokea tuzo hiyo ni
Mumewe Lady Jay Dee,Ndugu Garder Habash.
G. Habash akizungumza kwa niaba ya Lady Jay Dee.
Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager,George Kabishe akitangaza mshindi wa tuzo Msanii Bora wa Bongo Flava.
Muwakilishi wa Msanii Diamond akishukuru kwa niaba yake.
Mtunzi Bora wa Mashairi ya Muziki wa Taarab ni Thabit Abdul na hapa akipongezwa.
Khareed Chokoraa akichukua tuzo ya Msanii Bora wa Kike,ambayo ilikwenda wa Mkongwe Khadija Kopa.
Wawakilishi wa Isha Mashauzi wakipokea tuzo ya Msanii Bora wa Kike Taarabu kutoka kwa Mkurugenzi wa Aset,Baraka Msilwa.
Mrisho Mpoto na Ditto wakipokea tuzo ya Wimbo bora wenye vionjo vya asili.
Ben Pol akinyakua tuzo ya msanii bora wa kiume
Ben Pol akishuru mashabiki pamoja na Mama yake.
Tuzo ya Prodyuza bora wa Mwaka ilienda kwa Man Water.
Man Water akitoa shukrani






















Post a Comment