Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

HOTUBA YA MATUMIZI YA BAJETI YA SERIKALI YA ZANZIBAR MWAKA 2013-2014


untitled 58b01

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Uchumi na Mipango ya Maendeleo Omar Yussuf Mzee akielekea katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi kwa ajili ya kuwasilisha Hotuba ya matumizi ya Bajeti ya Serikali ya mwaka wa Fedha 2013-2014.mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.

untitled2 e5db1
Baadhi ya Makatibu wa kuu wa wizara za Serikali wakiwa katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi wakifuatilia hotuba ya matumizi ya Bajeti ya Serikali ya mwaka wa Fedha 2013-2014.iliowasilishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Uchumi na Mipango ya Maendeleo Omar Yussuf Mzee mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.
untitled3 500ce
Baadhi ya Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali wakifuatilia hotuba ya matumizi ya Bajeti ya Serikali ya mwaka wa Fedha 2013-2014.iliowasilishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Uchumi na Mipango ya Maendeleo Omar Yussuf Mzee mbweni nje ya Mji wa Zanzibar
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top