Loading...
Home »
Unlabelled »
JUST IN: MTU MMOJA AFARIKI KATIKA AJARI YA GARI....DEREVA ATIMUA MBIO
Mtu
mmoja amefariki dunia na waengine kumi kujeruhiwa vibaya baada ya gari
walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Hiace lilikuwa linatoka Arusha kwenda
Karatu kupasuka gurudumu la nyuma na kupinduka katika kijiji cha Silonga
wilayani Monduli.
on Monday, June 10, 2013
Post a Comment