Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KASEBA BINGWA MPYA WA TAIFA WA PST AMGALAGAZA MMALAWI KWA KO RAUNDI YA TANO

 

 Bondia Japhet Kaseba (kulia) akichapana na Rasco Simwanza wa Malawi wakati wa pambano lao la Ubingwa wa Kimataifa wa PST lilliofanyika kwenye Ukumbi wa DDC Kondoa Magomeni jijini Dar es salaam jana usiku. Katika pambao hilo,  Kaseba alishinda kwa TKO ya raundi ya tano.
 Bondia Juma Fundi (kushoto) akichapana na Moro Best, katika pambano lao la utagulizi. Katika pambano hilo, Juma Fundi aliibuka na ushindi baada ya kumchapa kwa KO raundi ya sita.
 Bondia Ibrahimu Maokola (kushoto) akidundana na Joseph Njelekela. Maokola alishinda kwa KO ya raundi ya tatu.
Bondia Japhet Kaseba akiwa na mashabiki wake pamoja na mkanda wa Ubingwa wa PST baada ya kukabidhiwa mkanda huo jana alipomgalagaza Mmalawi kwa KO raundi ya tano.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top