Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MKUU WA MKOA WA MWANZA AKABIDHI VIFAA KWA WASHIRIKI MEYA'S CUP 2013 YATAKAYOANZA RASMI TAREHE 15 JUNI 2013

 


NA ALBERT G. SENGO: MWANZA
Timu 19 zitakazoshiriki Meya's Cup2013 tayari zimekwisha kabidhiwa vifaa vya michezo kuweza kushiriki michuano hiyo kwa mwaka huu.

Akikabidhi vifaa hivyo kwa makapteni wa timu zote shiriki pamoja na waamuziwa michuano hiyo inayotaraji kuanza kutimua vumbi mnamo tarehe 15 mwezi huu (juni) 2013, Mkuu wa mkoa wa Mwanza Evarist Ndikilo amesisitiza nidhamu mchezoni na kuwataka vijana washiriki kujibidiisha kuusaka ushindi ili wajinyakulie zawadi ambazo zimenuia kusaidia kuboresha mitaji yao sambamba na kuwaandaa kuifanya michezo kuwa sehemu ya ujasiliamali.

Kila timu imekabidhiwa jezi seti moja ikiwa na soksi zake pamoja na mpira mmoja kwa kila timu nazo zawadi kwa washindi zikianikwa nao wadau kujionea.

Mgeni rasmi wa siku ya Uzinduzi ni Katibu Mkuu wa TFF Angetile Osiah.

Katika hatua nyingine kwa kutambua mchango wa maendeleeo ya michezo nchini Kampuni ya My Way Entertainment ambao ni waandaaji wa Meya's Cup 2013wamemwalika Mwanamichezo wa Sports Xtra Mbwiga wa Mbwiguke....













 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top