Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

PICHA ZAIDI ZA KUAGWA KWA MSANII ALBERT MANGWEA LEO LEADERS, KUZIKWA MKOANI MOROGORO

 

1Waombolezaji Ndugu,Jamaa  marafiki wakipita mbele ya mwili wa marehemu Albert Mangwea wakati wa kuaga mwili wa marehemu huyo kwenye viwanja vya Leaders leo asubuhi jijini Dar es salaam, ambapo masabiki wake lukuki pamoja na wasanii wenzake wamehudhuri kwa ajili ya kumuaga mpendwa wao, mwili wa Marehemu Albert Mangwea umesafirishwa leo kwenda mkoani Morogoro ambako ndiko atazikwa. 2
Kamati ya maadalizi ikitoa shukurani mbele ya waombolezaji wakati wa kuaga mwili wa marehemu Albert Mangwea leo kwenye viwanja vya Leaders. 3 4Wanakamati wakijiandaa kupanda jukwaani kwa ajili ya kitoa shukurani zao kutokana na ushirikiano walioupata katika kipindi hiki kigumu. 5
Umati wa mashabiki wa muziki ukisubiri kwenda kuaga mwili wa marehemu Albert Mangwe leo. 6
Msanii Profesa J. wa tatu kutoka kushoto akiwana ndugu wa Albert Mangwea katika miba huo.
  7Mwanamuziki Lady Jay Dee akiwa na wasanii wengine katika msiba huo wakati wa kuaga mwili wa marehemu Albert Mangwea.Steve Nyerere kulia  na Hatman Mbilinyi  waliokaa wamejumuika katika kumuaga msanii Albert Mangwea
17
Mdau Bhoke Wambura kushoto akijadili jambo na rafiki yake Dokii pamoja na rafiki yao Aisia wakishiriki katika msiba wakati wa kuaga mwili wa marehemu Albert Mangwea kwenye viwanja wa Leaders leo kabla ya kuondoka kuelekea Mkoani Morogoro kwa mazishi 8
Watu wengi wameuaga mwili wa marehemu Albert Mangwea kama wanavyoonekana kwenye picha. 9
Ndugu wa karibu wa marehemu Albert Mangwea wakiwana majonzi makubwa 10
Ndugu wa karibu wa marehemu Albert Mangwea wakiwana majonzi makubwa 12
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya wakiwa katika msiba huo huku wakiwa na masikitiko makubwa. 13
Waigizaji wa filamu nao wamejumuika na wenzao pamoja katika msiba huo 14
Ilikuwa ni majozi na ukimya tu 15
Said Bonge wa Clouds wa pili kutoka kushoto akiwa pamoja na waombolezaji wengine wakiwemo wanausalama 16
Steve Nyerere kulia  na Hatman Mbilinyi  waliokaa wamejumuika katika kumuaga msanii Albert Mangwea
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright 2025 EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG | Designed By Code Nirvana
Back To Top