Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

PICHA ZAIDI ZA TAIFA STARS ILIPOKUFA KIUME KWA WAMOROCCO UGENINI JANA

 


Mshambuliaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta (katikati) akiwatoka mabeki wa Moeocco, wakati wa mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Dunia, uliochezwa jana usiku Jijini Marakech, Morocco. Katika mchezo huo Morocco walishinda mabao 2-1.  
Mshambuliaji wa Taifa Stars, Thomas Ulimwengu (kulia) akimtoka mabeki wa Moeocco, wakati wa mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Dunia, uliochezwa jana usiku Jijini Marakech, Morocco. Katika mchezo huo Morocco walishinda mabao 2-1. Picha kwa hisani ya Bin Zubeiry
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top