Mshambuliaji
wa Taifa Stars, Mbwana Samatta (katikati) akiwatoka mabeki wa Moeocco,
wakati wa mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Dunia,
uliochezwa jana usiku Jijini Marakech, Morocco. Katika mchezo huo
Morocco walishinda mabao 2-1.
Mshambuliaji
wa Taifa Stars, Thomas Ulimwengu (kulia) akimtoka mabeki wa Moeocco,
wakati wa mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Dunia,
uliochezwa jana usiku Jijini Marakech, Morocco. Katika mchezo huo
Morocco walishinda mabao 2-1. Picha kwa hisani ya Bin Zubeiry




Post a Comment