Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

RAIS WA ZANZIBAR DK ALI MOHD SHEIN AFUNGUA TAMASHA LA URITHI WA UTAMADUNI LA WATU WA MANGAPWANI ZANZIBAR

 


DSC_0509
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi akiangalia Sabuni iliotengenezwa kwa Mwani katika Ufunguzi wa Tamasha la Urithi  wa kiutamaduni wa watu wa Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Wilaya ya Kaskazini “B”Unguja. DSC_0537
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein wakwanza kulia akikaribishwa kwa ngoma ya Ndege mara alipowasili katika Ufunguzi wa Tamasha la Urithi  wa kiutamaduni wa watu wa Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Wilaya ya Kaskazini “B”Unguja. DSC_0541
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein wakwanza kulia akiangalia Ngoma inayochezwa na Watoto  mara alipowasili katika Ufunguzi wa Tamasha la Urithi  wa kiutamaduni wa watu wa Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Wilaya ya Kaskazini “B”Unguja.
DSC_0559
Rais wa Zaanzibar Dk Ali Mohd Shein katikati akiangalia mchezo wa Bao la kete baada ya kuwasili katika Ufunguzi wa Tamasha la Urithi  wa kiutamaduni wa watu wa Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Wilaya ya Kaskazini “B”Unguja.kulia yake ni Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi na kushoto yake ni Mwenyekiti wa Tamasha hilo Mwinyi Jamal Ramadhan.

DSC_0574
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein akiangalia Picha zilizochorwa kwa Ustadi pamoja na mazulia katika moja ya mabanda yaliokuwepo  katika  Ufunguzi wa Tamasha la Urithi  wa kiutamaduni wa watu wa Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Wilaya ya Kaskazini “B”Unguja. DSC_0604
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein wapili kushoto akichangia Upatu wa Maridadi ambao hutolewa baada ya Mwana kuolewa na watu kunywa chai(Kombela Bwana Harusi) katika  Ufunguzi wa Tamasha la Urithi  wa kiutamaduni wa watu wa Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Wilaya ya Kaskazini “B”Unguja. DSC_0619
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi akitoa hotuba ya makaribisho katika  Ufunguzi wa Tamasha la Urithi  wa kiutamaduni wa watu wa Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Wilaya ya Kaskazini “B”Unguja.kushoto yake ni Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk. DSC_0630
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Tamasha la Urithi  wa kiutamaduni wa watu wa Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Wilaya ya Kaskazini “B”Unguja.
DSC_0655
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein akisalimiana na Mzee Issa Suleiman Issa katika nyumba ya kiasili iliojengwa kwa makuti ya Kumba ikiwa ni ishara ya Ufunguzi wa Tamasha la Urithi la watu wa Mangapwani  Mkoa wa Kaskazini Wilaya ya Kaskazini “B”Unguja.
 PICHA ZOTE NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top