Amesema
ushindi aliopata Faina unaonyesha jinsi wajumbe wa Mkutano Mkuu wa ZFA
walivyo na imani naye katika kuhakikisha maendeleo ya mpira wa miguu
visiwani humo.
Rais
Tenga amesema ni imani yake kuwa Rais Faina ataendeleza ushirikiano
uliopo kati ya TFF na ZFA kwa ajili ya ustawi wa mpira wa miguu katika
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kumtakiwa kila kheri katika wadhifa
wake huo mpya.


Post a Comment