Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Wajasiliamali wa Safari wakabidhiwa vifaa vyao


 

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam,Edward Otieno(kulia) akimkabidhi mjasilamali,Pinie Mwasha mashine ya maabara (Outclave sterilizer) wakati wa zoezi la kukabidhi vifaa vya ruzuku kwa wajasiliamali waliofuzu kwenye program ya Safari Lager Wezeshwa kwa kanda ya Pwani iliyofanyika katika Viwanja vya Leaders Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Katikati ni Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam,Edward Otieno(kulia) akimkabidhi mjasilamali,Jamhuri Oiso mashine ya kutengeneza soli za viatu wakati wa zoezi la kukabidhi vifaa vya ruzuku kwa wajasiliamali waliofuzu kwenye program ya Safari Lager Wezeshwa kwa kanda ya Pwani iliyofanyika katika Viwanja vya Leaders Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top