Waziri
Mkuu,Mizengo pInda ana Viongozi wengine wakimsikiliza Waziri Mkuu wa
Uingereza, David Cameron wakati alipohutubia mkutano wa kimataifa wa
Lishe mjini London Juni 8, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
Waziri
Mkuu,Mizengo pInda ana Viongozi wengine wakimsikiliza Waziri Mkuu wa
Uingereza, David Cameron wakati alipohutubia mkutano wa kimataifa wa
Lishe mjini London Juni 8, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika Mkutano wa Kimataifa wa Lishe
uliofanyika Mjini Londoni Juni 8, 2013. Wapili kushoto ni Waziri Mkuu
wa Ivory Coast, DanielDuncan. (Picha na Ofisi ya Wazir Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Kamishina wa Maendeleo ya Uchumi na
Kilimo wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (Commissioner for Rural Economy
and Agriculture, African Inion Commission), Tumusiime Rhoda katika
Mkutano wa Kimataifa wa Lishe Mjini London Juni 8, 2013. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)


Post a Comment