Agnes Masogange akiwa
na mpenzi wake huko Afrika ya kusini.
Kikubwa cha kujiuliza
hapa tukae upande gani maana Gazeti la leo la Nipashe limesema Agnes Gerald kwa
jina lingine anaitwa Agnes Maasogange ameshikwa na madawa ya kulevya ila muda
huu kapost picha tatu na pia akiwatakia waislamu mfungo
mwema.
Au kuna mchezo hapa
tunachezewa ili pasionekane nani muhusika wa jambo ili la madawa ya kulevya. Na
pia jina analolitumia kwenye Instagram ni aggnesfineassgirl
NIPASHE
NIPASHE
Post a Comment