Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

JIMBO LA WAZIRI MULUGO KUWA MAKAO MAKUU YA MKOA MPYA WA SONGWE.


  Naibu Waziri Elimu na Mafunzo ya Ufundi Philip Mulugo
MKOA wa Mbeya umepitisha mapendekezo ya mkoa mpya ambao makao yake makuu yatakuwa katika eneo la Mkwajuni ambako ndiko liliko jimbo la Naibu Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Philip Mullugo.

Mapendekezo hayo yamepitishwa leo katika kikao cha RCC kilichoketi katika ukumbi wa mikutano wa Mkapa Jijini Mbeya.

Jina la mkoa huo limependekezwa kuwa uitwe mkoa wa Songwe.
Chanzo www.kalulunga.blogspot.com
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top