Spika wa
Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Margareth Zziwa, akiwa na Kamati ya Uongozi wa
Bunge hilo, walipotembelea ukumbi mpya wa Bunge la EALA uliopo kwenye jengo la
Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Jijini Arusha Tanzania, tayari kwa
kikao cha Bunge kinachotarajiwa kuanza tarehe 18/08/2013. 2. Spika ambaye ni
Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi - EALA pamoja na Wabunge wanaounda Kamati ya
Uongozi, wakionyesha nyuso za furaha walipokuwa katika ziara ya kutembelea
ukumbi mpya wa bunge hilo Jijini Arusha. (Picha na Mukhtar Abdul wa
EAC)
Meli ya nafaka ya Ukraine yashambuliwa na kombora la Russia
21 minutes ago
Post a Comment