Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

RASIMU YA KATIBA MPYA YAENDELEA KUJADILIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA MKOANI PWANI


 Mjumbe Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani, Bi. Mwajuma Ramadhani  akitoa maoni yake kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika leo (Jumapili Agosti 4, 2013) katika ukumbi wa shule ya Sekondari ya Kilangalanga uliopo Wilayani humo.
 Mjumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani, Bi. Anna Mollel akitoa maoni yake kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika leo (Jumapili Agosti 4, 2013) katika ukumbi wa shule ya Sekondari ya Kilangalanga uliopo Wilayani humo.
 Mjumbe Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani, Bw. Mohamedi Malande akitoa maoni yake kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika leo (Jumapili Agosti 4, 2013) katika ukumbi wa shule ya Sekondari ya Kilangalanga uliopo Wilayani humo.
Mjumbe Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani, Bw. Adam Korongo akitoa maoni yake kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika leo (Jumapili Agosti 4, 2013) katika ukumbi wa shule ya Sekondari ya Kilangalanga uliopo Wilayani humo.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Prof. Palamagamba Kabudi (kushoto) akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Kihaba Mkoani Pwani leo (Jumapili Agosti 4) katika mkutano wa kuijadili na kuitolea maoni Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume hiyo. Kulia ni Mjumbe wa Tume hiyo, Mhe. Al- shaymaa Kwegyir.Picha na Tume ya Katiba
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top