Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Vijana wa Jimbo la Kikwajuni wapata Mafunzo ya Udahili kutoka Taasisi ya Fortag Lightway Solution.

 


Mtoa Mada ya Mafunzo ya Ajira na jinsi ya kufanya Udahili wa Kazi kwa Vijana wa Jimbo la Kikwajuni Bi. Cathennerose Barretto, akitoa mafunzo katika ukumbi wa Ofisi za Youth Icon muembe madema. yalioatandiliwa na Yuoth Icon kwa vijana wa jimbo hilo jinsi ya kutafuta kazi kupitia mitandao.

Wakufunzi wa mafunzo ya Ajira na jinsi ya kufanya udahili wa kazi wakifuatilia mafunzo hayo yliotolewa na Taasisi ya Foretag LightwaySolution. katika ukumbi wa Ofisi za Yuoth Icon muembe madema.

Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Hamad Masauni, akifunga mafunzo hayo na kutowa shukrani kwa Taasisi hiyo iliotowa mafunzo hayo kwa Vijana wa jimbo lake, na kutowa nasahazake kwa Vijana hao kuyatumia vizuri mafunzo hayo wanapokuwa katika harakati za Udahili wa Kazi.


Mkufunzo wa Youth Icon Rajab Lee, akitowa nasaha zake kwa Vijana waliopata mafunzo hayo kuyatumia vizuri na kufaidika nayo wakati wa shughuli zao za kutafuta kazi kupitia njia ya mtandao.

Mjumbe wa Bodi ya Youth Icon Khamis Mbeto, akitowa shukrani kwa taasisi hiyo na kuwataka vijana kuyatumia vizuri mafunzo hayo. Via ZanziNews
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top