Katibu wa
wamiliki wa mashamba na makazi wa kijiji cha Buma, Gumbo Majibwa akisoma
taarifa kwa wananakijiji wenzake, huku pembeni yake Mwenyekiti Hassani
Tenela akimsikiliza kwa makini katika mkutano wao wa kupinga kutaka
kuchukuliwa kwa maeneo yao ili kumpish mradi wa hospitali ya kimataifa
inayodaiwa itamilikiwa JWTZ
|
Mmoja wa wamiliki wa mashamba na makazi wa kijiji cha Buma akiandikisha jina katika karatasi ya mahudhurio
|
Sehemu ya wahudhuriaji wakisikiliza kwa makini taarifa juu ya sakata la kutaka kuporwa kwa maeneo yao
|
Wamikili wa mashamba na makazi kijiji cha Buma, wilaya ya Bagamoyo wakiwa kwenye mkutano wao uliofanyika juzi Jumamiosi
|
Mpaka kieleweke hapa....Ardhi yetu anaitaka Rais au Jeshi? wanaulizana wamamiliki wa ardhi ya kijiji cha Buma
|
Najiorodhesha ili wasiseme sikuwepo!
|
Khadija Omary mmoja wa wanaomiliki ardhi katika kijiji cha Buma akitoa hoja na kuuliza maswali katika mkutano wao wa Jumamosi.
|
Viongozi wa
Kamati waliosimama kando ya gari wakisoma taarifa kwa wamiliki wenzao
kuhusu sakata la kutaka kuporwa kwa ardhi yao,.
|
Na sisi tumo mpaka kieleweke!
|
Hata iwe vipi ardhi yetu haiwezi kuchukuliwa kienyeji
|
Husna Mohammed
naye hakuwa nyuma kutoa maoni yake. Mwanamama huyo ni mmoja wa watu
sita walioteuliwa katika kamati maalum ya kwenda kumuona Mbunge wa Jimbo
la Bagamoyo, Dk Shukuru Kawambwa ili kujua ardhi yao inachukuliwa na
mwekezaji aliyetafutwa na Rais au ni JWTZ
|
"Tujiadharini
isije kuna matapeli wanalitumia jeshi na jina la Rais kutaka kupora eneo
leo. Hospitali gani inayojengwa katika eneo la ekari 1500? Dk Ally
Ponza alihoji katika makutano huo
|
Tupo nanyi mwanzo mwisho mpaka kieleweke, hatukubali kirahisi kuachia ardhi yetu.
|
Frank Lyimo
naye alitaka upatikane uthibitisho juu ya nani anayetaka kuchukua ardhi
yao ili wasije wakambebesha lawama Rais Kikwete bure wakati kumbe hajui
chochote kinachoendelea katika kijiji cha Buma.
|
Tupo pamoja
|
Katibu Gumbo Majubwa akitoa ufafanuzi baada ya kuulizwa na wanakijiji wenzake
|
Umoja ni nguvu! Hapa mwanzio mwisho mpaka tujue ukweli
|
Mwenyekiti wa
kamati Hassan Tenela akifafanua jambo kwa wamiliki wenzake kuhusu
ufuatuiliaji wao juu ya sakata la kutaka kuporwa ardhi yao.
|
"Jamani,
tumeelezwa jeshi limetumwa tu kusaka ardhi, lakini mwekezaji ametafutwa
na Rais alipokuwa nje ya nchi, lakini cha ajabu Mbunge wetu hajui na
wala bajeti ya kulipwa fidia kwa kuporwa ardhi haipo kwenye Bajeti ya
Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ya 2013-2014' Mwenyekiti
Hassan Tenela akiwafafanulia wenzake mahali alipofikia
|
Post a Comment