![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiVdrju6lJ2ukaQyF6A-bIDFVbaa00n4x7yhU1f7jkc2PT5vL5-kIIH_2KdqyhsMxNieq876IysRzpPg70Vw_IFvTZrkyd29wr5FHPPpOBnkEaRNA70gB2qfaw1hSsVHPu-KtskCfR1iKWe/s640/MAJAMBAZI+WATATU+TABORA.jpg)
Watu watatu ambao ni wakazi wa wilaya ya Sikonge ambao wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Tabora kwa tuhuma za ujambazi wa kutumia silaha,watu hao ambao wamedaiwa kuwa wamekuwa wakisumbua wananchi na hata kuwasababishia madhara makubwa kutokana na vitendo vyao vya unyang'anyi wa kutumia Silaha.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgIuPCW5_95XHazYaa6sJmVfr2E0Ank3OSZ4bNF9RH95u_auIiz8aQHTxJP8rnDFraEX2YYAN1tuF9xl1NuUHT4cxrt1mys3Q2-TVPgwPNTvM6QNYmXcKU7sQXV02QuHC9fKloMT3m4ZAdu/s640/MAJAMBAZI+WATATU+TABORA.1.jpg)
Post a Comment