Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KATIBU MKUU WA CCM, KINANA ASIMIKWA USULTAN

Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akisimikwa usultani na mzee wa kimila Alli Hassan Omar Linyama mara baada ya kuwasili katika kata ya Nakapanya Wilayani Tunduru jana.
1a (2)
Sultan Linyama Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi katika kata ya Nakapanya Wilayani Tunduru Mkoa wa Ruvuma  jana mara baada ya kuwasili katika kata hiyo akitokea Wilayani Masasi Mkoani Mtwara katika ziara yake ya kikazi ya siku 23 kwenye  mikoa ya Ruvuma. Mbeya na Njombe akikagua miradi mbalimbali na utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM na kuhamasisha wananchi katika suala zima la kushiriki katika shughuli za maendeleo, Tatizo kubwa la mikoa ya Kusini hasa Mtwara, Lindi na Ruvuma ni kuhusu bei ya zao la korosho ambapo Katibu Mkuu Kinana amesisitiza kuwa Chama cha Mapinduzi kitahakikisha suala hilo linashughulikiwa kwa umakini na Serikali ikishirikiana na taasisi zinazohusika na zao hilo ili kukomboa uchumi wa wananchi wa eneo hilo hasa kwa kuhakikisha viwanda vya kubangua korosho vinajengwa na vile ambavyo vilibinafsishwa na havifanyi kazi kunaandaliwa utaratibu ambao utawafanya waekezaji wengine kupewa ili vifanye kazi na kutatua tatizo la bei ndogo ya zao hilo inayolipwa na wanunuzi wa korosho zisizobanguliwa,Katika ziara hiyo  Kinana ameongoza na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi na Dr. AshaRose Migiro Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kiamtaifa (PICHA NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-TUNDURU)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top