Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE ATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMIVU


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) akitafakari wakati wa Mahafali ya 43 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambapo Mhe. Dkt. Maalim alitunukiwa Shahada ya Uzamivu (PhD) katika masuala ya Sheria.
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mhe. Balozi Fulgence Kazaura akimtunuku Shahada ya Uzamivu (Ph.D) Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) katika Mahafali ya 43 ya Chuo hicho yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani tarehe 16 Novemba, 2013. Mhe. Dkt. Maalim alikuwa miongoni mwa Wahitimu 41 waliotunukiwa Shahada ya Uzamivu siku hiyo.
Mhe. Dkt. Maalim na Wahitimu wengine wa Shahada ya Uzamivu wakiwa wenye nyuso za furaha.
Mkuu wa Chuo cha Dar es Salaam, Mhe. Balozi Fulgence Kazaura (katikati mwenye joho jekundu) akiwa na Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Prof. Rwekaza Mukandala (wa tatu kutoka kushoto) pamoja na Wahadhiri wengine wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakati wa Mahafali ya 43 ya Chuo hicho.
Wahitimu wa Shahada na Stashahada mbalimbali.
Picha ya pamoja
Mhe. Dkt. Maalim (katikati) akiwa na Wahitimu wenzake. Kushoto ni Dkt. Adelardus Kilangi na Dkt. Mramba Joseph (kulia)
Mhe. Dkt. Maalim akiwa na Wahitimu wengine wakiimba Wimbo wa Taifa.
Mhe. Dkt. Maalim akiwa na Mke wake mara baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamivu.
Mhe. Dkt. Maalim na Familia yake.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top