Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WANAFUNZI WA CHUO KIKUU WAFARIKI KWA AJALI YA PIKIPIKI PAPO HAPO






Wanafunzi wawili wa chuo cha biashara CBE Dodoma jana(06/11/2013)  majiria ya jioni walipata ajali ya piki piki maeneo ya nje kidogo na mji wa Dodoma ambapo walipoteza uhai papo hapo, kwa mujibu wa ripota wetu chanzo cha ajali hiyo ilikuwa ni mwendo mkali wa chombo hicho cha moto piki piki waliokuwa wamepakizana wanafunzi hao na gafla bila kutegemea walilivaa gari kubwa lililokuwa limaegeshwa pembeni ya bara bara na kusababisha mauti wa wanafunzi hao wawili ambaye ni GEORGE LULANDALA  wa ODPS  pamoja na RAMADHANI LESSO wa  ODMK:
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top