Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ANGALIA PICHA YA FAMILIA INAYOLELEWA NA MTOTO WA MIAKA 7

 


SIKU chache baada ya gazeti dada na hili la Amani kuandika habari ya mtoto wa miaka 7, Sara Shija kuilea familia bila msaada wa wazazi wake, mambo mazito zaidi yamefichuka.
 
Mara baada ya taarifa za habari hiyo kutapakaa mitaani, imebainika kwamba baba mzazi wa familia hiyo inayoishi Bangulo, Kata ya Pugu amefungwa.
Risasi Mchanganyiko limeongea na mjumbe wa eneo wanaloishi watoto hao, Juma Kabuwa ambaye alithibitisha kufungwa kwa mzazi wa watoto hao aitwaye Shija.

“Baba yao alipoondoka nyumbani alikwenda Kibaha Maili Moja, huko kwa rafiki yake akakutana na mgogoro wa kugombea shamba ndipo alipofungwa jela,” alisema mjumbe huyo.NA GPL


Akifafanua zaidi, mjumbe huyo alisema bwana Shija alienda Kibaha kwa rafiki yake ambaye ndiye aliyekuwa kwenye mgogoro huo wa shamba na yeye akaingia kumsaidia ndipo alipokamatwa na polisi na kuwekwa ndani.

Mjumbe huyo alisema kuwa taarifa hizo alizipata…
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top