Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BREAKING NEWSSSS .... MWANAMKE ANASWA NA SEMBE UWANJA WA NDEGE

Mwanamke mmoja akiwa na hati ya kusafiria

AB548424 aliefahamika kwa jina la  Salama Omary Mzala (30) mkazi wa Mbagala jijini Dar es Salam, aliekamatwa akiwa amemeza pipi 67 za dawa aina ya heroine.


Vyombo vya usalama  Kumtilia shaka na kuweza

kufuatilia hadi katika ndege aliotakiwa kupanda ya

Ethpoia Airline  tayari kwa kuelekea Maccau Nchni  China na kumuweka katika ulinzi ambapo kwa mujibu wa taaarifa toka kwa kamanda wa kikosi cha kuzuia na kupamabana na dawa za kulevya nchini


Godfrey Nzowa hadi kufikia saa 7.30 mchana

,Mzala alikuwa ametoa pipi 28 kwa njia ya haja

kubwa ambapo naendelea kutoa kadri muda

unavyozidi kwenda .
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top