Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

DIAMOND AFANYA KUFURU YA AJABU






 Simpo,mmoja wa waratibu akiwa 

ameongozana,na washindi wa ngololo Dancing




 Nikisarimiana na mkuu wa shule bi,Mercy Githirua


 Nilipata nafasi ya kuzungmza na

 wanafunzi na kuwausia mambo

 mbalimbali ya kimaisha....















 Ofisin kwa mkuu wa shule tukimalizia

 taratibu za kuwaandikisha shule watoto




Niliongozana na wazazi wao pia


 

Wakipitia form za usajiri
Kama unakumbukumbu nzuri wakati nafanya tamasha langu la Christmass na Ngololo niliuliza mtoto atakae cheza vizuri Ngololo na kushinda nimpe zawadi gani?…na wengi walisema Nimuendeleze kielimu…. Hawa ndio washindi wetu walioshinda siku ile, ambao siku ya leo niliwapeleka Rasmi katika Shule ya East Africa International School iliyopo Mikocheni Dar es salaam ili waanze Masomo yao…Niliona ni vyema kama mtoto yupo shule ya kawaida nimuhamishe international school ili niweze kumsaidia elimu bora zaidi…Niushkuru pia uongozi Mzima na wanafunzi wa Shule ya East Africa International School kwa kuwapokea vizuri.
 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top