Waombolezaji
wakiwa nyumbani kwa mtoto wa marehemu Prof. Alice Wamunza
Nkhoma, Changanyikeni – Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.marehemu Mzee Arnold Nkhoma amezikwa leo kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam
Wajukuu
wa marehemu wakiwa wamebeba Jeneza la Babu yao kuliingiza ndani tayari
kwa heshima za mwisho kabla ya kuelekea Kanisani kwa Ibada.
Mwili wa Mzee Arnold Wifred Nkhoma tayari kwa kutoa heshima za mwisho.
Familia ya karibu ya marehemu.
Kushoto ni mabinti wawili wa Marehemu wakiwa na ndugu zao wakaribu kwenye majonzi mazito.
Vitukuu wa marehemu mzee Arnold Nkhoma.
Waombolezaji wakitoa heshima za mwisho.
Mtoto wa Marehemu Prof. Alice Wamunza Nkhoma akitoa heshima za mwisho kwa baba yake mpendwa Mzee Arnold Nkhoma.
Mtoto wa marehemu Bi. Agnes Nkhoma Darch akitoa heshima kwa baba yake.
Mjukuu mkubwa wa marehemu Bi. Usia Nkhoma Ledama akitoa heshima za mwisho kwa babu yake.
Vilio na simanzi vilitawala.
Ndugu wa karibu wa marehemu wakiendelea kutoa heshima za mwisho.
Post a Comment