Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MWIGULU NCHEMBA APOKELEWA KWA NDEREMO NA VIFIJO WIZARA YA FEDHA LEO

 



 

Naibu Waziri wa Fedha Mh:Mwigulu Nchemba akipokea Zawadi ya Ua wakati akipokewa na Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha jijini Dsm hii Leo,Tukio hili limefanyika Nje ya Wizara ya Fedha ambapo mamia ya Wafanyakazi asubuhi ya Leo Tar.22/01/2014 walijitokeza Kuwalaki Mawaziri wapya walioteuliwa na Rais Kikwete wiki iliyopita ilikujaza nafasi za Mawaziri wanne Zilizokuwa Wazi kutokana na Kujiuzulu pamoja na Kifo cha Waziri wa Fedha Marehemu Mgimwa. 


Mh:Malima ambaye ni Naibu waziri wa Fedha akipokea Zawadi ya Ua wakati wa alipofika Rasmi Ofisini hii leo kwaajili ya
Kuanza Majukumu yake baada ya Kuapishwa na Rais Jakaya Kikwete kuwa Naibu Waziri wa Fedha.


 

Mapokezi Yakiendelea Asubuhi ya Leo Nje ya Wizara ya Fedha.



Mapokezi Yanaendelea,Watumishi wa Wizara ya Fedha walijitokeza Kwa wingi sana kuwapokea Manaibu Waziri wapya wa Wizara hiyo.(Mh:Mwigulu Nchemba na Mh:Adam Malima) Pembeni(Kushoto) ni Mkurugenzi wizarani hapo aliyeongoza mapokezi hayo

 

Naibu Waziri wa Fedha Mh:Mwigulu Nchemba akilakiwa na Maofisa wa Wizara ya Fedha mapema hii leo Asubuhi wakati alipofika Ofisini hapo rasmi kuanza kazi.

 Naibu Waziri wa Fedha Mh:Mwigulu Nchemba akibadilishana Mawazo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha wakati wa hafla ya Kuwapokea Mawaziri hao Wapya hii leo zoezi lililofanyika Wizara ya Fedha na Kukamilika Jioni ya Leo.Picha Zote na HABARI KWANZA BLOG
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top