Ajali
mbaya ya kusikitisha imetokea Jana usiku majira ya saa nane ambapo
gari ya ya polisi iliyokuwa inatoka Dodoma kwenye sherehe ya polisi
iliyokuwa inafanyika katika ukumbi wa mipango,
Gari hiyo iliyokuwa imebeba polisi
na ilikuwa inaelekea kongwa imegongana na basi ya Mohamedi katika eneo
ambalo ni nje kidogo ya mji (Mitumba) ambapo wanawake wawili na wanaume
wa tatu wamefariki papo hapo Ambao wote ni Polisi.


Post a Comment