Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

AY, MWANA FA NA DIAMOND WAUNGANA NA WASANII ZAIDI YA 19 AFRIKA KUFANYA WIMBO MMOJA AFRIKA KUSINI


Wasanii kutoka Tanzania, Ambwene Yessaya na Diamond Platnumz siku ya jana walisafiri kuelekea Afrika Kusini ambako wanaungana na wasanii wengine kutoka bara la Afrika kwa ajili ya kufanya wimbo wa pamoja ambao unatambulika kama mradi wa “Do Agric” kwa ajili ya kuhamasisha kilimo barani Afrika huku ikitumika kuwashtua viongozi wa Afrika juu ya kuchangia asilimia kumi kwenye kilimo.

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top