Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

FC BARCELONA WACHAPWA NA VALENCIA


Barcelona 2-3 Valencia:

Shock win: Valencia celebrate after scoring their third goal through Alcacer on 58 minutes
Shock win: Valencia celebrate after scoring their third goal through Alcacer on 58 minutes
VINARA wa Ligi Kuu ya Hispania, Barcelona imeshindwa kutamba nyumbani kwake baada ya kunyukwa mabao 3-2 na Valencia licha ya Lionel Messi kuifungia timu yake bao kwa mkwaju wa penati.
Wenyeji walitangulia kupata bao la mapema kupitia kwa Alex Sanchez aliyefunga dakika ya 7 kabla ya wageni kulikomboa dakika moja kabla ya mapumziko baada ya Dani Parejo kufunga.
Kipindi cha pili kilikuwa cha mchakamchaka zaidi kwa timu zote kutafuta mabao zaidi na walikuwa ni Valencia walipopata bao la pili dakika ya 48 lililofungwa na Pablo Piatti, hata hivyo penati ya Lionel Messi katika dakika ya 54.
Paco Alcacer aliifungia Valencia bao la tatu dakika tano baada ya Messi kufunga penati hiyo na kufanya hadi mwisho wa pambano hilo ambalo lilishuhudia Jordi Alba wa Barcelona akitolewa nje ya uwanja  baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano na kufuatiwa na nyekundu dakika ya 78.
Pamoja na kipigo hicho cha nyumbani Barcelona bado imebaki kileleni ikiwa na pointi 54 sawa na Atletico Madrid na kufuatiwa na Real Madrid yenye pointi 53.
Stunned: Valencia took a 2-1 lead second into the second half through their Argentine forward Pablo Piatti
Stunned: Valencia took a 2-1 lead second into the second half through their Argentine forward Pablo Piatti
It's over: Lionel Messi reacts as Barcelona's 31-game unbeaten home run in the league came to an end
It's over: Lionel Messi reacts as Barcelona's 31-game unbeaten home run in the league came to an end

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top