Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akinyanyua juu kitabu baada ya kuzindua Sera
ya
Mtandao wa Vikundi vya Maadili na Uchumi Tanzania (MVIMAUTA) akiwa na
mwasisi wake Askofu Mkuu Sylvester Gamanywa, Mwangalizi
Mkuu wa Kitaifa, wa WAPO Mission International
na Mwasisi wa Maono ya Harakati za Maadili
kwa Kizazi Kipya katika ukumbi wa BCIC Mbezi Beach jijini Dar es salaam
Jumamosi, Februari 15, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa kuzindua Sera ya Mtandao wa Vikundi vya Maadili na Uchumi Tanzania (MVIMAUTA) iliyoasisiwa na Askofu Mkuu Sylvester Gamanywa, Mwangalizi Mkuu wa Kitaifa, wa WAPO Mission International na Mwasisi wa Maono ya Harakati za Maadili kwa Kizazi Kipya katika ukumbi wa BCIC Mbezi Beach jijini Dar es salaam Jumamosi, Februari 15, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na vijana baada ya kuzindua Sera ya Mtandao wa Vikundi vya Maadili na Uchumi Tanzania (MVIMAUTA) iliyoasisiwa na Askofu Mkuu Sylvester Gamanywa, Mwangalizi Mkuu wa Kitaifa, wa WAPO Mission International na Mwasisi wa Maono ya Harakati za Maadili kwa Kizazi Kipya katika ukumbi wa BCIC Mbezi Beach jijini Dar es salaam Jumamosi, Februari 15, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa kuzindua Sera ya Mtandao wa Vikundi vya Maadili na Uchumi Tanzania (MVIMAUTA) iliyoasisiwa na Askofu Mkuu Sylvester Gamanywa, Mwangalizi Mkuu wa Kitaifa, wa WAPO Mission International na Mwasisi wa Maono ya Harakati za Maadili kwa Kizazi Kipya katika ukumbi wa BCIC Mbezi Beach jijini Dar es salaam Jumamosi, Februari 15, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na vijana baada ya kuzindua Sera ya Mtandao wa Vikundi vya Maadili na Uchumi Tanzania (MVIMAUTA) iliyoasisiwa na Askofu Mkuu Sylvester Gamanywa, Mwangalizi Mkuu wa Kitaifa, wa WAPO Mission International na Mwasisi wa Maono ya Harakati za Maadili kwa Kizazi Kipya katika ukumbi wa BCIC Mbezi Beach jijini Dar es salaam Jumamosi, Februari 15, 2014
Post a Comment