Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima (kushoto) akizungumza na Mkuu wa mkoa wa Mara John Tuppa (kulia) mara baada ya kuwasili katika ofisi za makao makuu ya mkoa wa Mara.
Naibu
Waziri wa Fedha Adam Malima akiongea na wa wafanyabiashara wa mkoa wa
Mara juu ya umuhimu wa utumiaji wa mashine za kodi za kielektroniki
(EFDs) kwa wafanyabiashara hao kukusanya kodi ya ongezeko la thamani
(VAT) ili Serikali iweze kutoa mahitaji ya kijamii na uchumi kwa wakati.
on Sunday, February 2, 2014
Post a Comment